Jinsi ya kudownload app zinazouzwa bure

2 comments
Apps kadhaa katika store mbalimbali zinapatikana kwa njia ya kulipia, huenda ikawa kabla au baada ya kudownload app hizo. Kwa watumiaji wa simu za android kuna njia rahisi sana ya kuweza kupata apps hizo bure kabisa.

Njia za kuweza kupata apps hizo

BlackMart

Unaweza kupata apps nyingi sana hususa ni zinazopatikana katika Google Playstore. Unachotakiwa kufanya ni kuingia katika website ya Blackmart kisha download apk na install katika simu yako ya android. Hapo unaweza kudownload apps bila kufungua account au ku-log in

Mobogenie app store.

Njia nyingine ni kutumia app au website ya mobogenie ya android. Hapa unaingia katika website ya mobogenie kisha unatafuta app yako kwa ajii ya kudownload. Piakatika store hii hakuna haja ya kufungua account au ku-log in kwa ajili ya kudownload

Kumbuka:

Kabla ya ku-install apps zinazotoka sehemu tofauti na Google Playstore ingia  settings kwa ajili ya kuruhusu (apps from unknown sources) nenda settings>>security>>unknown sources 
kisha washa.